Taasisi ya Rais ni afisi inayomilikiwa na maafi sa wawili waliolishwa kiapo cha kuwatumikia Wakenya kwa pamoja pasi na tofauti zozote.
Rais na naibu wake ni marafiki wa tangu jadi kisiasa. Yamkini katiba ya Kenya 2010 haikutabiri uwezekano wa kutokea mzozo kati ya maafi sa hao wawili katika afi si hii.