×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Read on the App

Msiba wa Likoni: Je, mbona mzungu alishindwa kupata miili baharini?

Mpigambizi Mswidi Volker Bassen ambaye alitoka ndani ya maji akipepetwa na roho akisema aliyoyaona chini ya bahari hayaelelezi kamwe.

Tukio la Mswidi mpiga mbizi aliyejitolea kusaidia katika juhudi za kuopoa miili ya mama na mwanawe waliozama baharini kutangaza kushindwa kwake kufaulu kama alivyo kuwa ameahidi mwanzoni limezua gumzo kubwa miongoni ya Wakenya.

Gumzo hilo limejaa shaka na dhana kwamba huenda mzungu huyo hakushindwa kupata gari yenyewe humo baharini ila huenda alinyoroshwa na mkono wa chuma wa serikali kueleza Wakenya kwamba hakufaulu.

Get Full Access for Ksh299/Week
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in