×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands of Readers
★★★★ - on Play Store
Download Now

Mihadarati: Mimi ni mweupe kama pamba

Mwakilishi wodi ya Bofu Ahmed Salama.

Nyundo ya waziri wa usalama Fred Matiang’i ilipo gonga kufuatia agizo lake kutangaza vita dhidi ya madawa ya kulevya, operesheni ya polisi mara moja ikaanza.

Aidha kamata kamata pamoja na misako ya makaazi ya washukiwa ikatanda mjini Mombasa ambapo zaidi ya watu 15 wakaarifiwa kutiwa mikononi kwa shutuma za kuendeleza biashara ya mihadarati.

Get Full Access for Ksh299/Week
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in