The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Wakati wabunge wa Mombasa walipokuwa wakijipiga kifua muda mfupi baada ya mkondo wa kwanza wa marekebisho ya sheria inayoruhusu biashara za meli na uchukuzi ya Merchant Shipping Act 2019 kupingwa na wabunge, hawakujua kwamba nguzo ya nchi ni Rais ambaye anapaswa kuingilia mahali ambapo walafi wameenda kombo kisheria.
Hata kabla ya kuidhinishwa rasmi na rais kuwa sheria, wabunge wa pwani wakiongozwa na kijana wao wa mkono katibu mkuu wa chama cha makuli nchini cha Dock Workers Union, Simon Sang, tayari walikuwa wanatafuta ukumbi wa kuandaa sherehe za kufaulu kufi lisi ndoto ya vijana 1000 ambao walikuwa wanasubiri kuajiriwa zaidi na kampuni ya meli ya MSC. Sang ambaye amekuwa dalali mkubwa katika kuwakutanisha baadhi ya wabunge na matajiri fulani wanaomezea mate kiegezo kinachong’ang’aniwa bandarini cha CT2, alikuwa mstari wa mbele kusaka sehemu ambayo ingewaleta viongozi wote kusherehekea ushindi wao.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.