The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Edward Alukuma akiwa katika pilka pilka za kuonyesha kipaji chake cha kula. [Photo: Courtesy]
Huku watu wakibarikiwa na vipaji mbali mbali kama vile vya kuimba, kucheza, kuigiza na vinginevyo maarufu, Edward Alukuma mwenye umri wa miaka 38 ameajaliwa kuwa na kipaji cha kumeza ugali kisawasawa utadhania unausunda kwenye kibuyu ilhali ni tumbo lake.
Anakula zaidi ya kilo kumi na mbili (12) za ugali kila siku, sawa na kuramba mifuko sita ya unga wa ugali ama nusu bandali la unga yeye peke yake. Wengi wanashangaa iwapo wake ni utumbo wa kawaida wa mwanadamu ama ni mabomba sawa nay ale yapitishayo maji. Alukuma ambaye ni mwenyeji wa Buyokha kaunti ndogo ya
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.