×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Read on the App

Edward Alukuma wa Shinyalu anakula zaidi ya mifuko sita ya unga kila siku

Edward Alukuma akiwa katika pilka pilka za kuonyesha kipaji chake cha kula. [Photo: Courtesy]

Huku watu wakibarikiwa na vipaji mbali mbali kama vile vya kuimba, kucheza, kuigiza na vinginevyo maarufu, Edward Alukuma mwenye umri wa miaka 38 ameajaliwa kuwa na kipaji cha kumeza ugali kisawasawa utadhania unausunda kwenye kibuyu ilhali ni tumbo lake.

Anakula zaidi ya kilo kumi na mbili (12) za ugali kila siku, sawa na kuramba mifuko sita ya unga wa ugali ama nusu bandali la unga yeye peke yake. Wengi wanashangaa iwapo wake ni utumbo wa kawaida wa mwanadamu ama ni mabomba sawa nay ale yapitishayo maji. Alukuma ambaye ni mwenyeji wa Buyokha kaunti ndogo ya

Get Full Access for Ksh299/Week
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in