×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

Edward Alukuma wa Shinyalu anakula zaidi ya mifuko sita ya unga kila siku

Edward Alukuma akiwa katika pilka pilka za kuonyesha kipaji chake cha kula. [Photo: Courtesy]

Huku watu wakibarikiwa na vipaji mbali mbali kama vile vya kuimba, kucheza, kuigiza na vinginevyo maarufu, Edward Alukuma mwenye umri wa miaka 38 ameajaliwa kuwa na kipaji cha kumeza ugali kisawasawa utadhania unausunda kwenye kibuyu ilhali ni tumbo lake.

Anakula zaidi ya kilo kumi na mbili (12) za ugali kila siku, sawa na kuramba mifuko sita ya unga wa ugali ama nusu bandali la unga yeye peke yake. Wengi wanashangaa iwapo wake ni utumbo wa kawaida wa mwanadamu ama ni mabomba sawa nay ale yapitishayo maji. Alukuma ambaye ni mwenyeji wa Buyokha kaunti ndogo ya

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902