×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Download App

NASA WAWATAKA WAKENYA KUJIOKOA WENYEWE

Muungano wa NASA unaoongozwa na Mheshimiwa Raila Odinga umewaonya wakenya kwamba huu ndio wakati wa kipekee wa kujinasua kutoka kwa ulaghai wa viongozi wa chama cha Jubilee.

Akizungumza na wakenya katika mdahalo wa wagombea urais uliofanyika tarehe 24/07/2017,Bw Odinga alitumia fursa hio kujieleza na kufafanua manifesto ya NASA huku akidai kwamba ndiyo dawa pekee ya matatizo yanayoikumba nchi ya Kenya.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in