×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands of Readers
★★★★ - on Play Store
Download Now

Wakenya wenzangu, tuwaunge mkono wasanii wetu

Hapa Kenya tumebarikiwa na wasanii wenye vipaji mbalimbali ambao tunafaa tujivunie uwepo wao katika maisha yetu. Tunao wasanii wa ucheshi, wanamziki na wengineo wanaotambulika sio hapa nchini pekee, bali pia kwenye mataifa mbali mbali ulimwenguni.

Tunao wanamuziki wanaoimba aina za kipekee za nyimbo kama vile Kapuka na Genge ambao kwa kawaida huimba kwa lugha ya mtaani maarufu Sheng. Wasanii wanaoimba kwa lugha za jamii mbali mbali za humu nchini kama vile Kijaluo, Kikuyu, Kikamba na Kiluhya pia wapo.

Get Full Access for Ksh299/Week
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in