Vyama vyaendelea kujisajilisha

Vyama vya kisiasa nchini vinaendelea kujizatiti katika kuhakikisha kuwa vinatimiza matakwa ya sheria mpya ya vyama vya kisiasa, inayowataka kujisajili upya kabla ya muda wa mwisho uliowekwa wa tarehe 30 mwezi huu kumalizika. Kufikia sasa, takriban vyama kumi na mbili vimepata upya vyeti vyao ,hii ikiwa ni idhini kamili kutoka kwa msajili mkuu wa vyama kwamba vinaweza kujibwaga ulingoni kwa uchaguzi mkuu ujao.

Related Topics

Judges vetting