×
App Icon
The Standard e-Paper
Fearless, Trusted News
★★★★ - on Play Store
Download App

Mihadarati: Mimi ni mweupe kama pamba

Mwakilishi wodi ya Bofu Ahmed Salama.

Nyundo ya waziri wa usalama Fred Matiang’i ilipo gonga kufuatia agizo lake kutangaza vita dhidi ya madawa ya kulevya, operesheni ya polisi mara moja ikaanza.

Aidha kamata kamata pamoja na misako ya makaazi ya washukiwa ikatanda mjini Mombasa ambapo zaidi ya watu 15 wakaarifiwa kutiwa mikononi kwa shutuma za kuendeleza biashara ya mihadarati.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in