The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Wakati mwanasiasa Karisa Nzai Munyika alipoanza kumvizia mbunge wa Malindi miaka ya 2000s, alijiua wazi Aisha Jumwa Karisa siyo mtu wa kuraukia. Wote walipatana wakiwa wanasisasa, bwana akiwa diwani wa Manispaa ya mji wa Mombasa na mke akiwa diwani wa Takaungu, baraza la mji wa Kilifi .
Mke akiwa diwani, alibahatika pia kuchaguliwa kama mwanamke wa kwanza kuwa mwenyekiti wa baraza la mji wa Kilifi. Bwana naye akaishia kuwa naibu wa Meya wa Mombasa kabla ya zunguluke ya maisha kuwageukia miaka ya 2013-2014.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.