The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Lisemwalo lipo na kama halipo basi limo njiani laja ijapo kwa mwendo wa jongoo. Maisha ya kesho inamtegemea mtoto wa leo ambaye anayo miaka mitano hadi kumi (5-10) ambaye maadili yake itategemea jinsi atakavyolelewa na mzazi ama mwalimu wake.
Kuna Imani kubwa kwamba kuchaguliwa hivi majuzi kwa waziri wa elimu nchini, Professa George Albert Omore Magoha bila shaka kutalegeza kamba janga la shule kuwa mazizi ya anasa na ngono hususan katika kaunti ya Mombasa na Kenya nzima ambapo ni dhahiri wazi kwamba idara husika ama maafisa ambao wamekuwa na jukumu la kukomesha balaa hili wamefunikwa kwa nyuso za ufisadi baina yao na wenye kusimamia shule hizi.
Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.