×
App Icon
The Standard e-Paper
Fearless, Trusted News
★★★★ - on Play Store
Download App

Ajabu ya shule kuwa zizi la anasa na ngono

Mtumizi wa dawa za kulevya

Lisemwalo lipo na kama halipo basi limo njiani laja ijapo kwa mwendo wa jongoo. Maisha ya kesho inamtegemea mtoto wa leo ambaye anayo miaka mitano hadi kumi (5-10) ambaye maadili yake itategemea jinsi atakavyolelewa na mzazi ama mwalimu wake.

Kuna Imani kubwa kwamba kuchaguliwa hivi majuzi kwa waziri wa elimu nchini, Professa George Albert Omore Magoha bila shaka kutalegeza kamba janga la shule kuwa mazizi ya anasa na ngono hususan katika kaunti ya Mombasa na Kenya nzima ambapo ni dhahiri wazi kwamba idara husika ama maafisa ambao wamekuwa na jukumu la kukomesha balaa hili wamefunikwa kwa nyuso za ufisadi baina yao na wenye kusimamia shule hizi.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902