Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Download App

Mhubiri mmoja katika Kaunti ya Kitui atakiwa kuzingatia masharti ya kujiweka karantini

Mhubiri mmoja wa Kanisa Katoliki kwenye Kaunti ya Kitui ameagizwa kuzingatia masharti ya kujiweka karantini baada ya kuonekana mitaani licha ya kurejea nchini tarehe 23 kutoka Italia. Inaarifiwa kwamba mhubiri huyo kwa jina Nicholas Maanzo alirejea nchini siku ya Jumatatu wiki hii huku akionekana katika duka moja kuu siku ya Jumanne mjini Kitui na baadaye kuelekea katika mashine ya ATM.

Kwa mujibu wa Mkuu wa Idara ya Upelelezi, DCI katika eneo la Kitui ya Kati, Nzioka Singi, hapo jana aliandamana na maafisa wa afya hadi nyumbani kwa mhubiri huyo katika eneo la Kihara ambapo alipimwa na kubainika hakuwa na dalili zozote za virusi vya korona japo ameagizwa kuendelea kujiweka karantini hadi atakapokamilisha muda wa siku 14.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News

Related Topics

mhubiri kitui