The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Mhubiri mmoja wa Kanisa Katoliki kwenye Kaunti ya Kitui ameagizwa kuzingatia masharti ya kujiweka karantini baada ya kuonekana mitaani licha ya kurejea nchini tarehe 23 kutoka Italia. Inaarifiwa kwamba mhubiri huyo kwa jina Nicholas Maanzo alirejea nchini siku ya Jumatatu wiki hii huku akionekana katika duka moja kuu siku ya Jumanne mjini Kitui na baadaye kuelekea katika mashine ya ATM.
Kwa mujibu wa Mkuu wa Idara ya Upelelezi, DCI katika eneo la Kitui ya Kati, Nzioka Singi, hapo jana aliandamana na maafisa wa afya hadi nyumbani kwa mhubiri huyo katika eneo la Kihara ambapo alipimwa na kubainika hakuwa na dalili zozote za virusi vya korona japo ameagizwa kuendelea kujiweka karantini hadi atakapokamilisha muda wa siku 14.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.