×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Read on the App

Sensa kuanza mwesi ujao.

Mamlaka ya Kitaifa ya Takwimu, KNBS imeelezea utayarifu wake katika kuendesha shughuli ya sensa mwezi ujao. Haya yanajiri huku shughuli ya kuwachuja waliotuma maombi ya kazi ya sensa iking'oa nanga rasmi leo hii. KNBS aidha imesema shughuli hiyo itaanza tarehe 24 mwezi Agosti na kukamilika tarehe 31 mwezi uo huo.

Mkugenzi Mkuu wa KNBS, Zachary Mwangi amesema sheria zilifuatwa wakati wa kuyaorodhesha majina ya waliotuma maombi. Shughuli ya uchujaji inatarajiwa kukamilika Ijumaa wiki hii na itafanywa kwa uwazi.

Get Full Access for Ksh299/Week
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics

census 2019