Mengitis ni uvimbe wa sehemu iitwayo mengines katika ubongo na uti wa mgongo. Uvimbe huo husababaisha kuumwa na kichwa, joto jingi mwilini na kuumwa na shingo, na usipogunduliwa mapema huisababisha kifo.
Menengitis husababishwa na bakteria, maambukizi ya virusi, na maambukizi ya vimelea yaani fungal infection. Vilevile kando na ubongo na uti wa mgongo maambukizi ya menengitis vilevile hutokea katika sehemu mbali mbali mwilini kama masikio, koo na sinuses.