×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

Mwanahabari Jacque Maribe na mpenziwe, Joseph Kuria lrungu maarufu Jowie, wakanusha mashtaka ya mauaji ya mfanyabaishara, Monica Kimani

Mwanahabari Jacque Maribe na mpenziwe, Joseph Kuria lrungu maarufu Jowie, wamesomewa upya mashtaka ya mauaji ya mfanyabaishara, Monica Kimani ambapo wamekana mashtaka dhidi yao.

Wawili hao wamekana kuhusika mauaji hayo mnamo Septemba 19 mwaka uliopita katika nyumba za Lamuria Gardens Mtaani Kilimani, jijini Nairobi , wakati Monica aliporejea nchini kutoka Sudan Kusini alikokuwa akijihusisha na biashara ya familia.

Katika mashtaka hayo mapya, upande wa mashtaka ulibadili stakabadhi za mahakama na kulijumuisha jingine la utani la Jowie ambalo ni Harun. 

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902