The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Mwanahabari Jacque Maribe na mpenziwe, Joseph Kuria lrungu maarufu Jowie, wamesomewa upya mashtaka ya mauaji ya mfanyabaishara, Monica Kimani ambapo wamekana mashtaka dhidi yao.
Wawili hao wamekana kuhusika mauaji hayo mnamo Septemba 19 mwaka uliopita katika nyumba za Lamuria Gardens Mtaani Kilimani, jijini Nairobi , wakati Monica aliporejea nchini kutoka Sudan Kusini alikokuwa akijihusisha na biashara ya familia.
Katika mashtaka hayo mapya, upande wa mashtaka ulibadili stakabadhi za mahakama na kulijumuisha jingine la utani la Jowie ambalo ni Harun.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.