×
App Icon
The Standard e-Paper
Stay Informed, Even Offline
★★★★ - on Play Store
Download App

Mwanahabari Jacque Maribe na mpenziwe, Joseph Kuria lrungu maarufu Jowie, wakanusha mashtaka ya mauaji ya mfanyabaishara, Monica Kimani

Mwanahabari Jacque Maribe na mpenziwe, Joseph Kuria lrungu maarufu Jowie, wamesomewa upya mashtaka ya mauaji ya mfanyabaishara, Monica Kimani ambapo wamekana mashtaka dhidi yao.

Wawili hao wamekana kuhusika mauaji hayo mnamo Septemba 19 mwaka uliopita katika nyumba za Lamuria Gardens Mtaani Kilimani, jijini Nairobi , wakati Monica aliporejea nchini kutoka Sudan Kusini alikokuwa akijihusisha na biashara ya familia.

Katika mashtaka hayo mapya, upande wa mashtaka ulibadili stakabadhi za mahakama na kulijumuisha jingine la utani la Jowie ambalo ni Harun. 

Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in