Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

Wamiliki sitini na saba wa nyumba kufurushwa enoe la Kongowea.

Wamiliki sitini na saba wa nyumba kwenye kipande cha ardhi Plot Number 106/1/MN kwenye mtaa wa Kongowea Eneo Bunge la Nyali, Kaunti ya Mombasa wanahofia kufurushwa baada ya kupewa notisi ya kuondoka kwenye kipande hicho kabla tarahe mosi mwezi Agosti mwaka huu.

Wamiliki hao wanasema kwamba mnamo tarehe kumi na tano mwezi wa Disemba mwaka 2017, waliwasilisha malalamishi yao kuhusu mzozo huo wa ardhi kwa Idara ya Ardhi na kuahidiwa kwamba suala hilo lingechunguzwa na hatua mwafaka kuchukuliwa ila hadi sasa suala hilo halijafanyika.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Related Topics

Kongowea