The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Wamiliki sitini na saba wa nyumba kwenye kipande cha ardhi Plot Number 106/1/MN kwenye mtaa wa Kongowea Eneo Bunge la Nyali, Kaunti ya Mombasa wanahofia kufurushwa baada ya kupewa notisi ya kuondoka kwenye kipande hicho kabla tarahe mosi mwezi Agosti mwaka huu.
Wamiliki hao wanasema kwamba mnamo tarehe kumi na tano mwezi wa Disemba mwaka 2017, waliwasilisha malalamishi yao kuhusu mzozo huo wa ardhi kwa Idara ya Ardhi na kuahidiwa kwamba suala hilo lingechunguzwa na hatua mwafaka kuchukuliwa ila hadi sasa suala hilo halijafanyika.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.