×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

Wa-Oman warudi tena kudai kodi Mombasa

Huku Wakenya wakizingirwa na jinamizi la ufi sadi usiokuwa wa kifani, jamii zaidi ya 20,000 katika mtaa maarufu wa Bondeni - Mwembekuku eneo bunge la Mvita mjini Mombasa zinakosa usingizi. Haya yanajiri baada ya kuchipuka upya kwa unyanyasaji wa vitukuu vya aliyekuwa Liwali wa kisiwa cha Mombasa Sheikh Salim bin Khalifan Abbusaid.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in