The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Naibu wa Rais William Ruto ameendeleza ziara yake kwenye Kaunti yaNarok, ambapo amesisitiza kwamba nisharti viongozi wazingatia huduma kwa Wakenya badala ya siasaza mwaka 2022. Akizungumzakatika eneo la Enkare, Ruto amemshtumu Kiongozi wa Chama cha ODM kwakulenga tu siasahivyo kuhujumu ajenda za serikali kuwahudumia Wakenya. Amewashauri Wakenya kuwachagua viongozi walio na maono pekee.
Mwakilishi wa Kike wa Kaunti ya Narok Soipan Tuya kwa upande wake amedai kuwa Raia anatumia ushirikiano baina yake na Rais Uhuru Kenyattakujiunufaisha kisiasa. Aidha amedai lengo lake kuu la kushirikiana na Rais lilikuwa kukisambaratisha chama cha Jubilee.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
🔥 Easter Sale Ends Tonight!
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.