Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Download App

Naibu wa Rais William Ruto aendeleza ziara yake kwenye Kaunti ya Narok

Naibu wa Rais William Ruto ameendeleza ziara yake kwenye Kaunti yaNarok, ambapo amesisitiza kwamba nisharti viongozi wazingatia huduma kwa Wakenya badala ya siasaza mwaka 2022. Akizungumzakatika eneo la Enkare, Ruto amemshtumu Kiongozi wa Chama cha ODM kwakulenga tu siasahivyo kuhujumu ajenda za serikali kuwahudumia Wakenya. Amewashauri Wakenya kuwachagua viongozi walio  na maono pekee.

Mwakilishi wa Kike wa Kaunti ya Narok Soipan Tuya kwa upande wake amedai kuwa Raia anatumia ushirikiano  baina yake na Rais Uhuru Kenyattakujiunufaisha kisiasa. Aidha amedai lengo lake kuu la kushirikiana na Rais lilikuwa kukisambaratisha chama cha Jubilee.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Related Topics

dp william ruto