×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Download App

Maafisa zaidi watumwa North Rift kuimarisha usalama

Oparesheni kali ya Usalama inatarajiwa kuanza eneo la North Rift baada ya maafisa wa polisi kutumwa eneo hilo. Waziri wa Usalama na Masuala ya Ndani ya Nchi Fred Matiangi amewatuma maafisa hao wakiongozwa na Mkuu wa Kitengo cha Maafisa wa Kukabili Ghasia GSU kiongoza oparesheni kwenye kaunti za Baringo, Pokot Magharibi, Samburu, Elgeyo Marakwet, Turkana na Laikipia.

Haya yanajiri kufuatia uvamizi baina ya jamii kwenye kaunti hizo  ambao umesababisha watu kadhaa kuuliwa na mali kuharibiwa. Kadhalika watu kadhaa wamehama makazi hayo. Hapo jana Gavana wa Pokot Magharibi John  Lonyangapuo alikutana na mwenzake wa Elgeyo Marakwet, Alex Tolgos walikutana ili kujadili jinsi ya kurejesha manai huku Lonyangapuo akiwalaumu maafisa wa polisi kwa kukwepa maeneo yenye mizozo hasa msitu wa Embobut.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in