The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Tume ya Uchaguzi, IEBC imetangaza nafasi ya Afisa Mkuu Mtendaji kuwa wazi huku ikiwashauri Wakenya kutuma barua za maombi ya kazi. Tangazo hilo linawashauri Wakenya kutuma maombi kati ya leo na tarehe tatu mwezi ujao.
Nafasi hiyo iliachwa wazi baada ya aliyekuwa Afisa Mkuu Mtendaji katika tume hiyo, Ezra Chiloba kufutwa kazi baada ya kusimamishwa kazi kuanzia mwezi Aprili mwaka jana.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.