×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Idadi ya wanafunzi waliokuwa katika bweni lililoteketea Nyamira yatajwa kuwa kubwa.

Saa chache tu baada ya Bweni la  Shule ya Upili ya Wasichana ya Gekomoni kuteketea mapema leo Mwalimu Mkuu wa shule hiyo Thomas Nyaencha amekiri kwamba wanafunzi wengi walikuwa wakilala katika bweni hilo kuzidi idadi inayostahili.

Akiwahutubia wanahabari shuleni humo Nyaencha aidha amelalamikia hatua ya serikali ya Kaunti hiyo kutokarabati barabara zinazopita nyuma ya shule hiyo hali iliyowapa ugumu maafisa wa kuzima moto wa kaunti kufika  shuleni humo ili kuukabili moto huo ulioketeza mali  ya thamani ya shilingi milioni 1.2.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902