×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Download App

Mafuriko yatatiza usafiri kwenye barabara ya Kakuma-Lokichogio

Usafiri kwenye barabara ya Kakuma - Lokichogio, Kaunti ya Turkana umetatizika kufuatia mafuriko ya mvua kubwa iliyonyesha katika eneo hilo usiku wa kuamkia leo.

Maafisa wa Shirika la Msalaba Mwekundu wamesema barabara hiyo imefurika na hivyo kuwa vigumu kwa magari na hata binadamu kupita na kwamba huenda hali ikawa mbaya zaidi iwapo mvua itaendelea kunyesha.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in