Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

Mahakama yasitisha kwa muda agizo la kuwatoza wafanyakazi 1.5%

Mahakama ya Uajiri na Leba imesitisha kwa muda agizo la serikali  la kuwaamrisha waajiri kuanza kuwakata wafanyakazi wao asilimia 1.5 ya mishahara ili kufanikisha ajenda ya serikali kujenga makazi ya bei nafuu. Katika uamuzi huo mahakama imeitaka serikali kuusitisha mpango huo hadi kesi iliyowasilishwa na  Muungano wa waajiri, itakaposikilizwa na kuamuliwa.

Akiwahutubiwa wanahabari jijini Mombasa mapema leo Mkurugenzi Mkuu wa Muungano huo Jacqueline Mugo amesisitiza kwamba notisi iliyotolewa ni kinyume na sheria ikizingatiwa kwamba kesi inayohusu ada hiyo ingali mahakamani ikisubiri kusikilizwa ili kuamuliwa.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News

Related Topics

mahakama 1.5%