The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Mahakama ya Uajiri na Leba imesitisha kwa muda agizo la serikali la kuwaamrisha waajiri kuanza kuwakata wafanyakazi wao asilimia 1.5 ya mishahara ili kufanikisha ajenda ya serikali kujenga makazi ya bei nafuu. Katika uamuzi huo mahakama imeitaka serikali kuusitisha mpango huo hadi kesi iliyowasilishwa na Muungano wa waajiri, itakaposikilizwa na kuamuliwa.
Akiwahutubiwa wanahabari jijini Mombasa mapema leo Mkurugenzi Mkuu wa Muungano huo Jacqueline Mugo amesisitiza kwamba notisi iliyotolewa ni kinyume na sheria ikizingatiwa kwamba kesi inayohusu ada hiyo ingali mahakamani ikisubiri kusikilizwa ili kuamuliwa.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.