The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Maafisa wa polisi Jijini Mombasa, wanaendelea kuwazuilia washukiwa tano wanaohusisha na mauji ya mtu mmoja na misururu ya visa vya wizi katika eneo la Makande Kaunti ya Mombasa.
Washikiwa hao walinaswa kwenye Kamera za CCTV ambayo ilitumwa kwa ofisi ya DCI, wakioneka wakimwibia mwanamke mmoja wakiwa na bunduki. Aidha watatu miongoni mwao, walionekana wakitoroka katika eneo la tukio kwa pikipiki ambayo imenaswa na polisi.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.