×
App Icon
The Standard e-Paper
Stay Informed, Even Offline
★★★★ - on Play Store
Download App

Serikali inapania kufufua utamaduni wa kila jamii

Serikali ya kitaifa kupitia Wizara ya Utamaduni inapania kufufua utamaduni wa kila jamii kwa lengo la kuhakikisha Kenya inahifadhi utamaduni wake wa asili.

Akizungumza wakati wa tamasha ya utamaduni katika chuo kikuu cha Lukenya kilicho eneo la Kambu kaunti ya Makueni, Katibu wa Utawala katika wizara hiyo Hassan Noor Hassan amesema serikali imeweka mikakati ya kuhifadhi utamaduni huku akiwahamasisha wasimamizi wa vyuo vikuu au vile vya kadri kutumia tamasha za aina hiyo kuwahimiza vijana kukumbatia utamaduni wao.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics