×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

Mwanamume akiri kuwala nyoka Trans Nzoia

Katika kisa kisicho cha kawaida mwanamume mmoja mkazi wa Railways, Kaunti ya Trans Nzoia, amewashangaza wengi kwa kula nyoka. Jackson Wekesa, anasema ulaji wa nyoka ni uraibu wake na kuwa anahitaji ujuzi mdogo au mbinu ya kulinasa windo lake.

Anasema kufikia sasa amewala nyoka takribani sita na kuwa hatasitisha hulka hiyo kwani huwapata kwa urahisi na bila gharama yoyote. Baadhi ya mataifa ambayo raia wake hula nyoka ni Uchina na India miongoni mwa mataifa mengine.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics

nyoka Trans Nzoia