×
App Icon
The Standard e-Paper
Fearless, Trusted News
★★★★ - on Play Store
Download App

Wafanyabiashara kwenye Kaunti ya Mombasa wamekerwa na hatua ya NEMA kutishia kupiga marufuku mifuko ya kubebea mizigo kuanzia mwisho wa mwezi Machi

Wafanyabiashara kwenye Kaunti ya Mombasa wameeleza kukerwa na hatua ya Usimamizi wa Mamlaka ya Kitaifa ya Mazingira, NEMA kutangaza kwamba itapiga marufuku mifuko inayotumika kubebea mizigo, marufuku ambayo yataanza kutekelezwa mwishoni mwa mwezi Machi

Kulingana nao, NEMA haijakuwa ikiwahusisha watengenezaji wa mifuko hiyo ili kuafikiana kuhusu suala la ni vipi mifuko ya kudumu itatengenezwa kwani ya sasa inaarifiwa kuwa isiyoafikia viwango.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in