Wakimbizi kwenye Kambi ya Chepchoina Kaunti ya Trans Nzoia wametoa wito kwa serikali kuingilia kati na kuwasaidia kwa kuwafidia kama ilivyowafanyia wakimbizi wengine kwenye maeneo mengine nchini ili kupata makazi, kuwaelimisha wanao na kuchangia ukuaji wa uchumi wa taifa.