Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Wakili anayedaiwa kumpiga risasi mwanawe akimbizwa Hospitalini baada ya kuugua ghafla

Wakili  Assa Nyakundi anayedaiwa kumpiga risasi bila kukusudia hadi kufa mwanawe mwenye umri wa miaka 29 amekimbizwa katika Hospitali ya Nairobi baada ya kuugua ghafla kufuatia shinikizo la damu.

Maafisa hao wa Kitengo cha Upelelezi, DCI wanachunguza jinsi wakili huyo anadai kumpiga risasi mwanawe wakiwa nyumbani kwao katika mtaa wa Muthaiga. Alipomatawa, Nyakundi ambaye ana leseni ya kumiliki silaha alidai kuwa alifyetua risasi iliyompiga mwanawe kifuani bila kukusudia muda mfupi baada ya wao kurejea nyumbani kutoka kanisani.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Related Topics