Viwango vya joto vinatarajiwa kuendelea kuongezeka nchini

Idara ya Utabiri wa Hali ya Anga imeonya kuwa viwango vya joto vinatarajiwa kuendelea kuongezeka nchini usiku na mchana.

Mmoja wa maafisa wa Idara hiyo David Koros amesema kuwa joto hilo ambalo limekuwa likifikia nyusi 32 jijini Nairobi huenda likaongezeka kutokana na mabadiliko ya hali ya anga kinyume na awali ambapo nyusi za juu zaidi kurekodiwa jijini ilikuwa 26.

Aidha, Idara hiyo imesema kuwa Kaunti ya Mombasa itaendelea kuwa na joto la nyusi 35 huku Lodwar, Mandera, Marsabit na Turkana zikiwa na joto la nyusi 40 au hata zaidi.

Vilevile, wananchi wameonywa kuwalinda watoto, wazee na watu wenye uzani kupita kiasi dhidi ya joto hili kwani wanabayolojia wanasema mili yao inapitia wakati mgumu kujaribu kusawazisha joto lililoko mwilini na nje ya mwili wao

Idara ya Utabiri wa Hali ya Anga imeonya kuwa viwango vya joto vinatarajiwa kuendelea kuongezeka nchini usiku na mchana.

Mmoja wa maafisa wa Idara hiyo David Koros amesema kuwa joto hilo ambalo limekuwa likifikia nyusi 32 jijini Nairobi huenda likaongezeka kutokana na mabadiliko ya hali ya anga kinyume na awali ambapo nyusi za juu zaidi kurekodiwa jijini ilikuwa 26.

Aidha, Idara hiyo imesema kuwa Kaunti ya Mombasa itaendelea kuwa na joto la nyusi 35 huku Lodwar, Mandera, Marsabit na Turkana zikiwa na joto la nyusi 40 au hata zaidi.

Vilevile, wananchi wameonywa kuwalinda watoto, wazee na watu wenye uzani kupita kiasi dhidi ya joto hili kwani wanabayolojia wanasema mili yao inapitia wakati mgumu kujaribu kusawazisha joto lililoko mwilini na nje ya mwili wao

Idara ya Utabiri wa Hali ya Anga imeonya kuwa viwango vya joto vinatarajiwa kuendelea kuongezeka nchini usiku na mchana.

Mmoja wa maafisa wa Idara hiyo David Koros amesema kuwa joto hilo ambalo limekuwa likifikia nyusi 32 jijini Nairobi huenda likaongezeka kutokana na mabadiliko ya hali ya anga kinyume na awali ambapo nyusi za juu zaidi kurekodiwa jijini ilikuwa 26.

Aidha, Idara hiyo imesema kuwa Kaunti ya Mombasa itaendelea kuwa na joto la nyusi 35 huku Lodwar, Mandera, Marsabit na Turkana zikiwa na joto la nyusi 40 au hata zaidi.

Vilevile, wananchi wameonywa kuwalinda watoto, wazee na watu wenye uzani kupita kiasi dhidi ya joto hili kwani wanabayolojia wanasema mili yao inapitia wakati mgumu kujaribu kusawazisha joto lililoko mwilini na nje ya miili yao.

Related Topics