The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Jamaa za watu 157 waliofariki dunia kufuatia ajali ya Ndege ya Ethiopia watakapa vyeti vya kufariki dunia kwa jamaa wao kwa kipindi cha wiki mbili zijazo. Kwa mujibu wa taarifa ambayo imetolewa na Shirika la Ndege la Ethiopian Airlines, ripoti ya uchunguzi wa chembemchembe za DNA itatolewa kwa kipindi cha kati ya miezi mitano na sita.
Ikumbukwe maafisa wa serikali ya Ethiopia Alhamisi jioni walianza kukusanya chembechembe za DNA ili kuanza uchunguzi wa kuwasaidia jamaa kuwatambua wapendwa wao. Hatua hii ilifuatia mvutano uliozuka baina ya maafisa wa kampuni ya ndege ya Ethiopian Airlines na jamaa hao kuhusu namna watakavyoitambua mili ya wapendwa wao.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.