Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Download App

Ripoti ya uchunguzi wa DNA ya waathiriwa 157 wa ajali ya Ndege Ethiopia itatolewa katika kipindi cha kati ya miezi 5 na 6

Jamaa za watu 157 waliofariki dunia kufuatia ajali ya Ndege ya Ethiopia watakapa vyeti vya kufariki dunia kwa jamaa wao kwa kipindi cha wiki mbili zijazo. Kwa mujibu wa taarifa ambayo imetolewa na Shirika la Ndege la Ethiopian Airlines, ripoti ya uchunguzi wa chembemchembe za DNA itatolewa kwa kipindi cha kati ya miezi mitano na sita.

Ikumbukwe maafisa wa serikali ya Ethiopia Alhamisi jioni walianza kukusanya chembechembe za DNA ili kuanza uchunguzi wa kuwasaidia jamaa kuwatambua wapendwa wao. Hatua hii ilifuatia mvutano uliozuka baina ya maafisa wa kampuni ya ndege ya Ethiopian Airlines na jamaa hao kuhusu namna watakavyoitambua mili ya wapendwa wao.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News