×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

Jamii ya Agikuyu inaongoza Katika ajira ya Tume ya Huduma za Bunge,

Jamii kumi na nane nchini hazijawakilishwa kivyovyote katika ajira zinazotolewa na Tume ya Huduma za Bunge la kitaifa.

Kwa mujibu wa ripoti ya hivi karibuni ya Kamati ya Bunge kuhusu Uwiano na Usawa imedokeza kuwa jumla ya wafanyakazi bungeni ni kutoka jamii 25 pekee. Wabunge Ong'ondo Were wa Kasipul na Jerusha Momanyi wa Nyamira wamekwaza sababu za tume hiyo kukosa kuzingatia usawa wa kimaeneo wakati wa kuwaajiri wafanyakazi wake ikizingatiwa umuhimu wa taasisi hiyo. 

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Related Topics