The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Jamii kumi na nane nchini hazijawakilishwa kivyovyote katika ajira zinazotolewa na Tume ya Huduma za Bunge la kitaifa.
Kwa mujibu wa ripoti ya hivi karibuni ya Kamati ya Bunge kuhusu Uwiano na Usawa imedokeza kuwa jumla ya wafanyakazi bungeni ni kutoka jamii 25 pekee. Wabunge Ong'ondo Were wa Kasipul na Jerusha Momanyi wa Nyamira wamekwaza sababu za tume hiyo kukosa kuzingatia usawa wa kimaeneo wakati wa kuwaajiri wafanyakazi wake ikizingatiwa umuhimu wa taasisi hiyo.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.