×
App Icon
The Standard e-Paper
Fearless, Trusted News
★★★★ - on Play Store
Read on the App

Jamii ya Agikuyu inaongoza Katika ajira ya Tume ya Huduma za Bunge,

Jamii kumi na nane nchini hazijawakilishwa kivyovyote katika ajira zinazotolewa na Tume ya Huduma za Bunge la kitaifa.

Kwa mujibu wa ripoti ya hivi karibuni ya Kamati ya Bunge kuhusu Uwiano na Usawa imedokeza kuwa jumla ya wafanyakazi bungeni ni kutoka jamii 25 pekee. Wabunge Ong'ondo Were wa Kasipul na Jerusha Momanyi wa Nyamira wamekwaza sababu za tume hiyo kukosa kuzingatia usawa wa kimaeneo wakati wa kuwaajiri wafanyakazi wake ikizingatiwa umuhimu wa taasisi hiyo. 

Get Full Access for Ksh299/Week
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics