Mzee Lengo (katikati) baada kuwachapa kiongozi wa ODM Raila Odinga (kushoto) na Gavana Salim Mvurya (kulia). [Picha: Hisani]
Jina la Mzee Karisa Lengo Mdzomba lilichipuka mnamo mwezi Septemba mwaka 2014 baada ya kustahimili uoga na mzizimo wa hofu kupasua umati wa watu katika hafla ya hadhara na kuwatwanga bakora za mpwito kinara wa ODM Raila Amolo Odinga na gavana wa Kwale, Salim Mvurya.