The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Wakazi wa Kaunti ya Nyamira wametakiwa kukomesha tabia ya kutumia umeme kwa njia haramu. Meneja wa Kampuni ya usambazaji umeme nchini, Kenya Power tawi la Nyamira, Dan Machuka amesema hali hiyo inachangia pakubwa katika kufeli kwa mitambo ya transfoma mara kwa mara, hali ambayo inaathiri shughuli za maendeleo kwenye eneo hilo.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.