Charles Mlekenyi.
Inaweza kuwa wakati rais wa kwanza wa Kenya hayati Jomo Kenyatta alitaga mbegu katika maficho yake ya kati ya mwaka wa 1948 hadi 1952? Twajua hatujui lakini mara nyingi washwahili hunena; “Dalili ya Mvua mara nyingi huwa ni mawingu”.