The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Gavana wa Nakuru Lee Kinyanjui ameapa kuwa waliowatupa watu 41 msituni kaunti ya Baringo wataadhibiwa.
Hayo yanajiri huku jumla ya watoto thelathini na sita miongoni mwa watu arubaini na mmoja wa kurandaranda mitaani kwenye Kaunti ya Nakuru waliotupwa katika msitu wa Chemusus ulioko Kaunti ya Baringo, wamerejeshwa. Maafisa wa usalama wakiongozwa na msirikishi wa utawala wa Kuanti ndogo ya Eldama Ravine David Aenga amesema wote wameondolewa msituni. Inaarifiwa miongoni mwa waliorejeshwa kuna jumla ya watoto kumi na wawili walio chini ya umri wa miaka kumi na minane na tayari wamehojiwa ili kuwasaidia polisi katika uchunguzi.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.