×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Download App

Waliowatupa ''Chokoraa'' msituni kuadhibiwa; asema Gavana Kinyanjui

Gavana wa Nakuru Lee Kinyanjui ameapa kuwa waliowatupa watu 41 msituni kaunti ya Baringo wataadhibiwa.

Hayo yanajiri huku jumla ya watoto thelathini na sita miongoni mwa watu arubaini na mmoja wa kurandaranda mitaani kwenye Kaunti ya Nakuru waliotupwa katika msitu wa Chemusus ulioko Kaunti ya Baringo, wamerejeshwa. Maafisa wa usalama wakiongozwa na msirikishi wa utawala wa Kuanti ndogo ya Eldama Ravine David Aenga amesema wote wameondolewa msituni. Inaarifiwa miongoni mwa waliorejeshwa kuna jumla ya watoto kumi na wawili walio chini ya umri wa miaka kumi na minane na tayari wamehojiwa ili kuwasaidia polisi katika uchunguzi.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902