The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Inasubiriwa kuona iwapo idara ya mahakama itabadili mtindo wake wa kuwaachilia kwa dhamana washukiwa wakuu wa ufisadi baada ya vitengo mbalimbali vya serikali kuilaumu idara hiyo kwa kulemaza vita dhidi ya ufisadi kupitia maamuzi mbalimbali inayofanya ya kuwaachilia kwa dhamama washukiwa. Akihutubu wakati wa kongamano la kukabili ufisadi jijini Nairobi, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Paul Kihara alisema baadhi ya maamuzi ambayo yamekuwa yakifanya na mahakama ni ya kustaajabisha.
Kauli sawa na hiyo ilitolewa na Mkuu wa Idara ya Upelelezi, DCI George Kinoti ambaye alisema kuwa maagizo mengine yakuzipinga kesi mbalimbali yamekuwa yakitolewa hata kabla ya kesi zenyewe kupiga hatua kubwa.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.