Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

Mahakama yaendelea kulaumiwa kwa kulemaza vita dhidi ya ufisadi

Inasubiriwa kuona iwapo idara ya mahakama itabadili mtindo wake wa kuwaachilia kwa dhamana washukiwa wakuu wa ufisadi baada ya vitengo mbalimbali vya serikali kuilaumu idara hiyo kwa kulemaza vita dhidi ya ufisadi kupitia maamuzi mbalimbali inayofanya ya kuwaachilia kwa dhamama washukiwa. Akihutubu wakati wa kongamano la kukabili ufisadi jijini Nairobi, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Paul Kihara alisema baadhi ya maamuzi ambayo yamekuwa yakifanya na mahakama ni ya kustaajabisha.

Kauli sawa na hiyo ilitolewa na Mkuu wa Idara ya Upelelezi, DCI George Kinoti ambaye alisema kuwa maagizo mengine yakuzipinga kesi mbalimbali yamekuwa yakitolewa hata kabla ya kesi zenyewe kupiga hatua kubwa.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Related Topics

Maraga ufisadi