×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Gideon apongeza ushirikiano unaoendelea kushuhudiwa kati ya Rais Uhuru Kenyatta na Kinara wa Chama cha, ODM Raila Odinga

Kwa mara nyingine Seneta wa Baringo, Gideo Moi amezungumzia siasa za mwaka 2022 akisema kuwa wakati huu ni wa kuwahudumia wananchi wala si kujihusisha na siasa za uchaguzi ambao bado haujawadia.  Moi aliyasema hayo katika mahojiano na Runinga na KTN.

Akizungumzia mabadiliko ya Katiba, Moi amesema Wakenya wana haki kisheria kufanya mabadiliko  kwani yatachangia vita dhidi ya ufisadi. 

Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics