×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

Ibada ya wafu ya waliofariki dunia Solai yafanyika

Rais Uhuru Kenyatta na Naibu wake, William Ruto leo hii wamehudhuria ibada ya watu 47 walioaga dunia katika mkasa wa Solai, Nakuru. Rais Kenyatta ameahidi kuzipa familia zilizoathirika usaidizi unaohitajika ili kuanza maisha yao upya. Wito wa kuwekwa kwa mikakati ya kukabili majanga vilevile ulishamiri wakati wa ibada hiyo.

Ni ibada ya wafu iliyowaleta pamoja watu wa matabaka mbalimbali katika Kanisa la AIC, Solai Kaunti ya Nakuru kuwapa buriani walioaga dunia kufuatia kusombwa na maji ya Bwawa la Patel wiki iliyopita. Rais Uhuru Kenyatta aliyefika kuomboleza na waathiriwa akiahidi kutoa usaidizi unaohitajika kwa waathiriwa akisema serikali itagharimia ujenzi wa shule zilizosombwa, vilevile kurekebisha huduma za nguvu za umeme ambazo zilikatizwa wakati wa mkasa huo.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics