Maisha hapa Nairobi ni noma ile mbaya. Hakuna watu wanakuwanga na madharau hapa mtaani kama ma landlords. Unapata landlord anasahau kuwa hao ma tenants pia ni binadamu. I think 90% ya raiyah za Kenya ni wale wamerent keja na hivyo ndivyo life hukua kwa sababu hatuwezi kua same sisi wote.
Kuzaliwa yes tunazaliwa the same way, lakini after hapo life ni yako, na inakutegemea wewe mwenyewe. Landlord wengine joh hata kama keja ni zenu, msisahau mnahitaji tenant ndio mambo ikue irie kwenu.