×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Landlord anakunyima hao juu una sura mbaya

News
 Usidharau ule tenant amerent kwako juu akikuachia hiyokeja hautaishi hapo

Maisha hapa Nairobi ni noma ile mbaya. Hakuna watu wanakuwanga na madharau hapa mtaani kama ma landlords. Unapata landlord anasahau kuwa hao ma tenants pia ni binadamu. I think 90% ya raiyah za Kenya ni wale wamerent keja na hivyo ndivyo life hukua kwa sababu hatuwezi kua same sisi wote.

Kuzaliwa yes tunazaliwa the same way, lakini after hapo life ni yako, na inakutegemea wewe mwenyewe. Landlord wengine joh hata kama keja ni zenu, msisahau mnahitaji tenant ndio mambo ikue irie kwenu.

Usidharau ule tenant amerent kwako juu akikuachia hiyokeja hautaishi hapo. Kumbuka no man is an Island, and no man stands alone. Usishinde hapo ukipigia tenants makelele eti wanatumia ploti yako vibaya. Sana sana wale landlords wanaishi tiplo moja na tenants wake wanakuanga mangati ile serious na sio kwa ubaya.

Wale hunishikisha moto ni wale landlord wanajifanyanga eti ploti zao ni special hawataki wamama wazee na mtoto. Unapata mama amepigwa na jua akiwa na mtoto kwa mgongo, halafu akiuliza landlord kama kuna vacant room, landlord anaanza maswali ya ujinga.

“Kwanza wewe umeolewa? Huyo mtoto ako kwa mgongo ni wako ama ni wa nani” na je mzee wako anafanyanga kazi gani? Yani anauliza hizo maswali zote na mwishowe anaambia huyo mama eti hakuna vacant room.

Mwingine anamwambia nyumba iko lakini mtoto amemharibia juu hiyo ploti hawarentishingi watu wako na mtoto ama watoto. Ma landlord wengine sareni za ovyo.

Landlord mangati zaidi ni wale waku-judge kitabu kwa cover yake. Jamaa anaona mtu amekuja kuulizia nyumba ashaanza kum-judge, eti juu mtu ni boy boy, hawezi mpea nyumba ya kurent. Kwanza anaanzanga na kuuliza kama mtu ako na bibi. Ukisema hauna anakwambia pole sana kwa hii ploti hatupatiangi vijana nyumba.

Unapata landlord mwingine anadharao mtu eti juu ako na mwili ndogo, na kakufichi anakwambia wazi eti nyumba ziko lakinikulingana na vile nimekucheki nimeona tutasumbuana. Uko sure na hii mwili yako utaweza kulipa rent? Jamaa anakunyima keja eti sura yako ni mbaya inakaa suspect eti mtasumbuana, ma landlord wengine sareni ungati.

Lazima ukubali advice

kuna wale mavijana hawapendi kupewa advise na wazee. Eti wanaona ni kama wanatoshanishwa, eti huyu buda ananibeba aje! Vijana wengi hawafuatangi advice kwa sababu wanaangalia mtu mwenye anamadvise ni nani na natabia zake ziko vipi.

But mimi naona hiyo sio poa. Chukua advice kutoka hata kwa mtu mdogo ama hata maskini. Usiangalie mwenye anakuadvice wala usiangalie tabia yake, fuata advice yake labda inaweza ikakusaidia.

QUOTE:

KUIBA SIO KAZI, KAZI NI KUWATOKA RAIYAH.

Related Topics


.

Popular this week

.

Latest Articles