Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Download App

Naibu Jaji Mkuu mteule Philomena Mwilu asema atastaafu akiwa na miaka sabini

Na Beatrice Maganga/Sophia Chinyezi

Hatua ya aliyekuwa Naibu Jaji Mkuu, Kalpana Rawal kushtumu vikali kustaafishwa akiwa na umri wa miaka sabini imewekwa katika mizani leo hii huku Jaji Philomena Mwilu aliyeteuliwa kumrithi akitakiwa kueleza iwapo naye atakatalia uongozini pindi atakapofikisha umri huo. Akihojiwa na Kamati ya Bunge ya Haki na Sheria, Mwilu hata hivyo amesema yu tayari kustaafu akifikisha umri huo.
Ikumbukwe kuwa Rawal alipinga kustaafishwa akiwa na umri wa miaka sabini kwa misingi kuwa aliapishwa kuwa jaji chini ya katiba ya zamani iliyoweka ukomo wa umri wa kustaafu kuwa miaka sabini na minne. Hata hivyo yeye pamoja na aliyekuwa Jaji Philip Tunoi walistaafishwa kufuatia uamuzi wa Mahakama ya Juu.
Licha ya kukiri kuhusu kukithiri kwa ufisadi katika idara ya mahakama, Jaji Mwilu aidha amesema hajawahi kushiriki ufisadi na kwamba atafanikisha vita dhidi ya jinamizi hilo.

 

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902