×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

Rais Kenyatta aendelea kuwasuta wasiotekeleza majukumu yao

Na Beatrice Maganga

Kwa siku ya pili leo hii, Rais Uhuru Kenyatta amezishtumu idara za serikali zisizozingatia utekelezaji wa majukumu hasa katika kukabili ufisadi na badala yake kulaumiana. Akizungumza mapema leo wakati wa halfa ya kumwapisha Jaji Mkuu mpya David Maraga, Rais amesema ni japo la kusikitisha kwa idara mbalimbali kukwepa kuwajibikia masuala mbalimbali na kuzilaumu nyingine.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in