×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Wanasiasa na polisi walaumiwa kwa ukiukaji wa sheria za trafiki

Na Carren Omae
Kufuatia kuongezeka kwa ajali za barabarani hasa jijini Nairobi kutokana na kile kinachotajwa kuwa utepetevu wa madereva, Mamlaka ya Usalama Barabarani NTSA, imesema magari yote ya uchukuzi wa umma yanafaa kufuata kanuni za vyama vyao vya ushirika. Kwenye kikao na wanahabari, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka hiyo, Francis Meja, amesema vyama hivyo vina mamlaka ya kuwaadhibu madereva wanaokiuka kanununi zao, vilevile sheria za trafiki.
Meja amefichua kwamba usimamizi wa Chama cha Ushirika cha Ongataline, ulikiri kutokuwa na uwezo wa kuyathibiti baadhi ya magari hali iliyosababisha kufutiliwa mbali kwa leseni yake.
Mamlaka hiyo imesisitiza kwamba itaendelea kufutilia mbali leseni ya vyama vya ushirika ambavyo vimeshindwa kuyadhibiti magari yao.
Wakati uo huo, Chama cha Kitaifa wa Usalama Barabarani, National Road Safety Association, kimewalaumu baadhi ya wamiliki wa magari hayo kwa kulemaza juhudi za idara zilizopewa majukumu kuyadhibiti. Chama hicho kimedai kuwa mengi ya magari hayo yanamilikiwa na maafisa wa polisi na wanasiasa. David Njoroge ni Mwenyekiti wa chama hicho.

 

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902