×
App Icon
The Standard e-Paper
Stay Informed, Even Offline
★★★★ - on Play Store
Download App

Wario Abuni Jopo maalum kuchunguza madai ya Usimamizi mbaya, Rio

Na,Suleiman Yeri
Waziri wa Michezo, Hassan Wario amebuni jopo maalum la kuchunguza madai ya usimamizi mbaya wakati wa michezo ya Olimpiki jijini Rio Brazil.
Kamati hiyo ya makamishna wanane imejukumiwa kuchunguza masuala mbalimbali kukiwamo kupotea kwa jezi rasmi za wanariadha, idadi kamili ya wanariadha waliosafiri na orodha iliyoidhinishwa na Kamati ya Olimpiki Nchini, NOCK.
Kamati hiyo itakayoongozwa na DKt. Paul Ochieng ina siku thelathini kuhakikisha inafanya uchunguzi huo na kuwasilisha ripoti yake.
Wanachama wengine wa kamati hiyo ni Rose Tatamuya atakayekuwa Naibu Mwenyekiti, Elizabeth Olaba, Moses Kiptanui, Hussein Kipkemboi, Mwanahabari Elias Makori, Wakili Njeri Onyango na afisa kutoka ofisi ya Mwanasheria Mkuu.
Wakati uo huo, Wario amesema Kenya imeionesha dunia kuwa taifa hili halitumii dawa za kusisimua misuli.

 

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902