The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Na,Suleiman Yeri
Waziri wa Michezo, Hassan Wario amebuni jopo maalum la kuchunguza madai ya usimamizi mbaya wakati wa michezo ya Olimpiki jijini Rio Brazil.
Kamati hiyo ya makamishna wanane imejukumiwa kuchunguza masuala mbalimbali kukiwamo kupotea kwa jezi rasmi za wanariadha, idadi kamili ya wanariadha waliosafiri na orodha iliyoidhinishwa na Kamati ya Olimpiki Nchini, NOCK.
Kamati hiyo itakayoongozwa na DKt. Paul Ochieng ina siku thelathini kuhakikisha inafanya uchunguzi huo na kuwasilisha ripoti yake.
Wanachama wengine wa kamati hiyo ni Rose Tatamuya atakayekuwa Naibu Mwenyekiti, Elizabeth Olaba, Moses Kiptanui, Hussein Kipkemboi, Mwanahabari Elias Makori, Wakili Njeri Onyango na afisa kutoka ofisi ya Mwanasheria Mkuu.
Wakati uo huo, Wario amesema Kenya imeionesha dunia kuwa taifa hili halitumii dawa za kusisimua misuli.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.