Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

JSC Yakosolewa kwa Kutojibu Masuali Kuhusu Uteuzi wa Jaji Mkuu Mpyaa

Na, Beatrice Maganga

Mjumbe maalum wa Umoja wa Mataifa Nchini, Yash Pal Ghai ameishtaki Tume ya Huduma za Mahakama JSC kwa kutoziweka bayana sababu za kukatowaorodhesha baadhi ya watu waliowania nyandifa kwenye idara ya mahakama zilizotangazwa hivi majuzi. Kupitia wakili wake Waikwa Wanyoike, Ghai amesema kuwa licha ya kuiandikia barua tume hiyo mnamo Julai 14, hadi sasa hajapokea maelezo.
Amesema hatua hiyo inakiuka katiba inayosisitiza umuhimu wa uwazi vilevile uongozi bora serikalini. Ghai pamoja na mkenya kwa jinar Samwel Muhochi wameitaka mahakama kuiagiza JSC kuweka wazi sababu hizo kwa umma. Mahakama imeitaja kesi hiyo kuwa ya dharura na kuagiza isikilikwe siku ya Ijumaa wiki hii.
Tume hiyo ilizitangaza nafasi za Jaji Mkuu, Naibu Jaji Mkuu na Jaji kwenye mahakama hiyo mnao Juni kumi na saba. Tume hiyo kisha iliyaorodhesha majina ya wawaniaji wa nafasi hizo kati ya Juni 14 na 21 kabla ya kuwateua baadhi yao. Msomi Makau Mutua ni miongoni mwa waliotemwa kwa wanaowania nafasi ya Jaji Mkuu. Walioteuliwa wataanza kuchujwa Agosti 29 hadi Oktoba 7.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News

Related Topics