The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Mzozo unatishia kuibuka tena kati ya familia ya s.m otieno na ile ya marehemu wambui otieno kuhusu mahala atakapozikwa wambui. Hii ni kufwatia madai kutoka kwa ukoo wa umira kager ambao unasisitiza kuwa kulingana na mila za jamii ya waluo wambui anapaswa kuzikwa kando ya mumewe huko siaya. Familia ya wambui nayo imesema kuwa wambui atazikwa kulingana na matakwa yake nyumbani mwake huko matasia ambapo wambui alikuwa amejichimbia kaburi miaka ishirini iliyopita. Familia hiyo imetangza siku ya alhamisi kama siku atakayozikwa wambui.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.