Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Download App

Mwanasheria Mkuu akanusha madai ya kupotea kwa faili kwenye sakata ya ufisadi katika wizara ya afya

Na Carren Omae na Mike Nyagwoka

Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali imekanusha taarifa kuwa faili za kampuni zilizopokezwa zabuni na Wizara ya afya zimetoweka.Kitengo cha haki katika ofisi hiyo kimesema kuwa stababadhi zote za kampuni zipo kwenye faili na hata kwenye sajili ya eletroniki. Vilevile ofisi hiyo imesema wakenya wanaruhuisiwa kuzikagua faili hizo.
Ikumbukwe madai yaliibuliwa kuwa wafanyakazi wa ofisi walikuwa wameshindwa kupata faili za kampuni ya Uwekezaji ya Estama, iliyosajiliwa kama EPZ, na Maisha Care Medics. Kampuni hizo mbili zinadaiwa kupokea pesa zilizotengwa kwa ajili ya wagonjwa, akina mama wajawazito na watoto wanaozaliwa.
Awali Mkurugenzi Mkuu wa EACC Michael Mubea alisema Tume hiyo kwa ushirikiano na Wizara ya afya zimebuni jopo litakalochunguza madai hayo. Jopo hilo litatakiwa kuwasilisha ripoti yake kwa kipindi cha siku 30 zijazo.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News