The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali imekanusha taarifa kuwa faili za kampuni zilizopokezwa zabuni na Wizara ya afya zimetoweka.Kitengo cha haki katika ofisi hiyo kimesema kuwa stababadhi zote za kampuni zipo kwenye faili na hata kwenye sajili ya eletroniki. Vilevile ofisi hiyo imesema wakenya wanaruhuisiwa kuzikagua faili hizo.
Ikumbukwe madai yaliibuliwa kuwa wafanyakazi wa ofisi walikuwa wameshindwa kupata faili za kampuni ya Uwekezaji ya Estama, iliyosajiliwa kama EPZ, na Maisha Care Medics. Kampuni hizo mbili zinadaiwa kupokea pesa zilizotengwa kwa ajili ya wagonjwa, akina mama wajawazito na watoto wanaozaliwa.
Awali Mkurugenzi Mkuu wa EACC Michael Mubea alisema Tume hiyo kwa ushirikiano na Wizara ya afya zimebuni jopo litakalochunguza madai hayo. Jopo hilo litatakiwa kuwasilisha ripoti yake kwa kipindi cha siku 30 zijazo.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.