The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Chama cha ODM sasa kina siku 14 kuwateua wawakilishi wake wapya wa kamati za bunge baada ya kuwaondoa wabunge waliokiasi chama hicho. Miongoni mwa walioondolewa ni aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama hicho, Ababu Namwamba ambaye aliyekuwa katika Kamati za Bajeti, Kamati ya Usalama na ile ya Utekelezaji Katiba.
Mbunge wa Karachuonyo, James Rege ameondolewa katika Kamati ya Kawi na ile ya Utangamano wa Taifa huku mbunge wa Mathare, Stephen Kariuki akiondolewa katika Kamati ya Elimu na ile ya Utekelezaji Katiba. Wengine waliotimuliwa ni Mbunge wa Tigania Mashariki, Mpuri Aburi, Mbunge wa Imenti ya Kati Iringo Kubai, John Waluke wa Sirisia na Mbunge Maalum, Isaac Mwaura.
Baadhi ya wabunge hao wamelalamikia hatua hiyo wakisema inawanyima haki ya kuwahudumia wapigakura waliowachagua.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.