Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Download App

Wabunge wa ODM watimuliwa kwenye kamati

Na Mike Nyagwoka

Chama cha ODM sasa kina siku 14 kuwateua wawakilishi wake wapya wa kamati za bunge baada ya kuwaondoa wabunge waliokiasi chama hicho. Miongoni mwa walioondolewa ni aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama hicho, Ababu Namwamba ambaye aliyekuwa katika Kamati za Bajeti, Kamati ya Usalama na ile ya Utekelezaji Katiba.
Mbunge wa Karachuonyo, James Rege ameondolewa katika Kamati ya Kawi na ile ya Utangamano wa Taifa huku mbunge wa Mathare, Stephen Kariuki akiondolewa katika Kamati ya Elimu na ile ya Utekelezaji Katiba. Wengine waliotimuliwa ni Mbunge wa Tigania Mashariki, Mpuri Aburi, Mbunge wa Imenti ya Kati Iringo Kubai, John Waluke wa Sirisia na Mbunge Maalum, Isaac Mwaura.
Baadhi ya wabunge hao wamelalamikia hatua hiyo wakisema inawanyima haki ya kuwahudumia wapigakura waliowachagua.

 

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News

Related Topics

ODM Ababu Namwamba