The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Aliyekuwa Afisa Mkuu Mtendaji wa Kampuni ya Mawasiliano ya Safaricom, Michael Joseph ametwaa rasmi uwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Ndege la Kenya Airways. Joseph ambaye ametwaa wadhifa huo baada ya aliyekuwa Mwenyekiti wa bodi ya shirika hilo, Dennis Awori kujiuzulu rasmi Jumatano.
Akitangaza hatua hiyo, Waziri wa Uchukuzi, James Macharia amesema Joseph ameteuliwa kutokana na tajriba ya usimamizi aliyodhihirisha katika Kampuni ya Safaricom.
Balozi Awori amekuwa akishinikizwa kuondoka na muungano wa marubani KALPA uliomlaumu kwa kutozingatia mkataba wa kurejea kazini walipogoma mapema mwaka huu. Marubani hao vilevile wamemtaka Afisa Mkuu Mtedaji, Mbuvi Ngunze kuondoka.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
🔥 Easter Sale Ends Tonight!
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.