Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Fearless, Trusted News
★★★★ - on Play Store
Download App

Wanunuzi wa bidhaa watakiwa kuwa makini

Ni sharti wanunuzi wawe makini wakati wa kununua bidha madukani ili kujiepusha na magonjwa. Haya ni kwa mujibu wa Naibu Mkurugenzi wa Mamlaka la Kukabili Bidha Ghushi Nchini, Anti Counterfeit Agency Agnes Kariu.
Akizungumza jijini Nairobi baada ya kuteketeza bidhaa gushi zenye thamani ya shilingi milioni 58zilizonaswa katika Kaunti za Nairobi, Kisumu, Eldoret na Mombasa, Agnes amesema mamlaka hiyo inaniua kufanya shughuli ya uhamisisho kwa wanunuzi kote nchini.
Aidha amedokeza kuwa tayari walionaswa na bidha hizo wamefunguliwa mashtaka mahakamani.
Baadhi za bidha zilizoteketezwa ni simu za rununu, ala za muziki, vipodozi pamoja na mavazi.

Na, Sulleiman Yeri

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News