The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Ni sharti wanunuzi wawe makini wakati wa kununua bidha madukani ili kujiepusha na magonjwa. Haya ni kwa mujibu wa Naibu Mkurugenzi wa Mamlaka la Kukabili Bidha Ghushi Nchini, Anti Counterfeit Agency Agnes Kariu.
Akizungumza jijini Nairobi baada ya kuteketeza bidhaa gushi zenye thamani ya shilingi milioni 58zilizonaswa katika Kaunti za Nairobi, Kisumu, Eldoret na Mombasa, Agnes amesema mamlaka hiyo inaniua kufanya shughuli ya uhamisisho kwa wanunuzi kote nchini.
Aidha amedokeza kuwa tayari walionaswa na bidha hizo wamefunguliwa mashtaka mahakamani.
Baadhi za bidha zilizoteketezwa ni simu za rununu, ala za muziki, vipodozi pamoja na mavazi.
Na, Sulleiman Yeri
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.